Moja kati ya habari kubwa sana ambazo zinatrend kwasasa Bongo
Tanzania ni pamoja na sakata la kuzuiwa kwa movie za nje ambazo
zinatafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ambazo zinadaiwa kuharibu soko la
filamu za ndani.
Mengi tumeyasikia na wengi wameongea, ila mkali wa Hiphop Tanzania Fareed Kubanda almaaruf kama Fid Q naye alikuwa na yakwake ya kusema kupitia kipindi cha leo Tena cha Clouds FM hapo jana.
Fid Q amepongeza harakati ambazo zinafanywa na
mastaa wa Bongo Movie na kudai kwamba wanahitaji kusapotiwa juu ya hilo
na pia akawapa ushauri mdogo ambao yeye anahisi unaweza kuwa msaada
kwao.
Kimoja kati ya vingi ambavyo Fid Q amewashauri Bongo
Movie, ni kujipanga na kuwa kama team moja na kutoa kazi zao kwa
mpangilio ili kuzi-push kazi hizo na kuhakikisha zinafika mbali tofauti
na kuwa kwa wiki wanatoa filamu 5 au 10.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..19} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..29} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..26} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩h...
No comments:
Post a Comment