Thursday, April 24, 2014

BARUA YA WAZI KWA MA MC WOTE WA HIP HOP KUHUSU BUNGE LA KATIBA ISOME HAPA

BARUA HII IMEANDIKWA NA MMOJA WA MA MC KUTOKA ARUSHA 
***BARUA YA WAZI KWA MA-MC WOTE KUHUSU BUNGE LA KATIBA***
-kwenu ma-mc wote wa hiphop
kuna mawazo mengi sana ambayo mnayaibua kuhusu bunge la katiba na kims...ingi hayana mantiki...kwa mfano wengi wenu mnasema kwamba hamuangalii na wengne mnashawishi watu kufanya kama mnavyosema
swali la kujiuliza hapo ni
1; je, pasipo kujua yanayoongelewa kule ndani na kuyaelewa mtawezaje kukosoa au kurekebisha pindi rasimu hiyo ikiletwa kwetu wananchi?
2;je,rasimu inayojadiliwa kule inamhusu nani? Kama sio sisi
baada ya hapo ni lazima mkumbuke kuwa...KULIKIMBIA TATIZO SIO NJIA YA KUTATUA..ni lazima mkubali kwamba katiba bora ya tanzania itategemea mawazo ya mtanzania mwenyewe!
AMKENI MA-EMC WOTE MNAOJIITA WANA-HIP HOP..tambuen mnayoongea kla siku kwenye mitandao ya jamii yana "influence" kubwa kwa jamii...msijitie majinuni kwa ujinga wa "likes" mnazopata kwa washkaji zenu wasiojua maana ya mikumbo wanayofwata..
"KUWA NA BUSARA NI KUWA NA UJASIRI WA KUSEMA UNACHOJISKIA BILA WOGA" lakini kuwa na BUSARA NA HEKIMA NI KUCHAGUA NA KUFKIRIA UNACHOTAKA KUFANYA....
natumain mtaelewa na mtarekebika... Kwa wale wazimaji sio mbaya mkizima na hii!
Willey nazzareno...

Download Suma_Mnazaleti_ft_Shreekezy__Agaba

Download SUWA_SIDE_FT__JUMA_NATURE_-_HAINA_NGEKEWA

Download Nakaaya-Blessing NOIZ KIONJO

Download sura_one_tuli_tuli_feat_menina

Download jerry 777 prod by kz WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT

Wednesday, April 23, 2014

Download SixBoy_ft_Willy-Ni_Wewe_Tu__Mixtape_Noiz_ [Audio]

Download Mwaka_Mzima_ft_J_Deal_JamboSquad___MeccaCheka-Iwe_Leo

Download AdoraboMc ft J Deal-Naiwaza Kesho (NOIZ)

WAJUE WASANII WALIOSHIRIKI KATIKA WIMBO WA MUUNGANO

Picha: Wasanii waungana kutengeneza wimbo na video ya wimbo wa muungano

Wasanii zaidi ya 50 wa Bongo Flava, Hip Hop, Injili, Dance na Taarab wameungana pamoja na kufanya wimbo wa kuhamasisha Muungano unaotoka April 26, 2014.
Wasanii wa Tanzania kuanzia muziki, kwaya,dance mpaka bongo movie, wameungana kwa pamoja na kutengeneza wimbo wa pamoja kuhusu Muungano ambao kilele kitakakuwa siku ya ya tarehe 26 mwezi huu.
Wimbo huo umejumiaisha wasanii kama Mabeste, Diamond, Ommy Dimpoz, Lina, Khadija Kopa, Manddojo na Domo Kaya, Mwana FA, AT,AY,Mrisho Mpoto,Madee,Asley,Chege, Qeen Darlin, Mwasitina wengine kibaona kutengenezwa na Tuddy Thomas na kusimamiwa upande wa video na Raqie kutoka I-View Media