Monday, November 30, 2015

SITAKI SHARI YA RUDE RODGERS HII HAPA [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Baada ya kufanya mixtape na singles kadhaa pamoja na kutoa bidhaa zilizoambatana na kazi yake ya muziki kama tshts,swetas,vest na kadhalika na baada ya hapo alipitia mambo mengi yaliyohusisha muziki wake na bado hakukata tamaa akasafiri mpaka Dar es salaam na kubahatika kukutana na wadau wa muziki wengi na kubadilishana nao mawazo na kujadili kuhusu muziki wa Tanzania kwa ujumla,na akafanikiwa kufanya wimbo mmoja ambao aliwashirikisha  NATIVE na GS (ambae pia ndo mtayarishaji wa wimbo huo uliopewa jina la HAWAPONI..) https://mkito.com/song/hawaponi-ft-native-gs/14569
Baada ya wimbo huo kuskika ulijenga taswira kubwa sana kwa mashabiki,watangazaji,madj na wadau mbalimbali kwamba tangu kuanza kwa muziki wake hajawahi kurudi nyuma.Kwa muendelezo wa kazi zake safari hii amekuja na wimbo mpya uitwao SITAKI SHARI aliomshirikisha ZIZ INFINITY na wimbo huo mdundo umefanywa na producer GS kisha vocal na mixing zikafanywa na GONCHER.

Bofya hapa http://mdundo.com/song/42139  kupakua wimbo mpya wa Rude RODGERS http://mdundo.com/a/5272  kwa mawasiliano piga +255756978662 .

Wednesday, November 25, 2015

RUDE RODGERS AWATANGAZIA HATAKI SHARI [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

NUKUU KUPITIA UKURASA WAKE WA FACEBOOK
Plz share
Ule muendelezo wa harakati za muziki wa RUDE RODGERS @rodgersbabalao27 unaendelea chini ya usimamizi wa label ya ‪#‎RUDE_ZONE_MUSIC‬ na safari hii wimbo umefanyika kwa Producer @goncherbeatz (vocal na mixing) na beat imegongwa na Producer GS yule aliefanya wimbo wangu wa ‪#‎HAWAPONI‬.
Artist: Rude Rodgers ft @ziz_infinity
Song: ‪#‎SITAKI_SHARI‬
Dropin 27th,dis Friday
Stay tune




Powered by babalaoinc.blogspot.com @vmgafrica @mdundomusictz @mkitodotcom
Cover by ‪#‎PRIOR_GRAPHICS‬ @prior_prosper

Wednesday, November 18, 2015

MUDA BADO YA HUSSEIN PANTHER [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Bofya hapa kupakua wimbo http://mdundo.com/song/40975 uitwao MUDA BADO wa kwake HUSSEIN PANTHER ni HIP HOP category na ukiwa ni wimbo wake wa kwanza kuskika.Msanii huyu ni mmojawapo wa wasanii km EMCEE RUDE RODGERS maarufu kama BABALAO,kuna BUG na MBACHO (BAKABAKA WORRIES) na wengine wengi wanaoendeleza harakati za muziki wa hip hop mkoani ARUSHA maeneo ya ONE PARU(UNGA LTD),harakati izo zimepewa jina la SANAA MTAA MOVEMENT..kwa mahojiano au ushauri unaeza cheki nae kwa nambari +255769263033 .
Powered by babalaoinc.blogspot.com

Tuesday, November 17, 2015

AIBU YA BEXY HII HAPA [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

 Wimbo mpya toka kwa Bexy wamusic wimbo unaitwa AIBU anaomba sapoti yako shabiki wake wa nguvu.huu ni wimbo wake mwingine tena baada ya kutoa wimbo unaoitwa Lulu  & ukisinzia.Bofya hapa kupakua wimbo huo http://mdundo.com/song/40158 
Powered by babalaoinc.blogspot.com

Euro Man ft Ruff G-True Love (NOIZ) [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Bofya HAPA https://mkito.com/song/true-love-ft-ruff-g/17306 kupakua wimbo wa Euroman ft Ruff G Katika ngoma kwa Jina "True Love" ikiwa ni Reggae Category toka @noizmekah kwa @defxtro, Kwa mawasiliano/mahojiano zaidi check na EURO MAN kwa nambari +255 742 221 442 au +255 717 482 428 powered by babalaoinc.blogspot.com @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com  @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn

Ruff G-Tucheze Wote (NOIZ) [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Bofya HAPA https://mkito.com/song/tucheze-wote/17298 kupakua wimbo wa @ruffgmusic kwa jina #TuchezeWote Produced by @defxtro @noizmekah na kwa Mawasiliano/mahojiano zaidi check na Ruff G kwa nambari +255 768 916 065 Powered by babalaoinc.blogspot.com www.vmgafrica.com  @vmgafrica #SupportYourOwn

D-Hood-Moyo (NOIZ) [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Bofya HAPA https://mkito.com/song/moyo/17165 kupakua wimbo wa D-Hood kwa jina "MOYO" ikiwa ni BongoFleva Category na kwa mahojiano/mawasiliano zaidi check na "D-HOOD" kwa nambari +255 742 089 158 powered by babalaoinc.blogspot.com @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com  @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn

AvitMusic-Heshima Mapenzi (NOIZ) [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Bofya HAPA https://mkito.com/song/heshima-mapenzi/17167 Kupakua wimbo wa @AvitMusic kwa jina "HESHIMA MAPENZI" ikiwa ni RnB category toka @nizmekah kwa @defxtro, kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na AVITMUSIC kwa nambari +255 762 617 037 powered by babalaoinc.blogspot.com @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com  @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn

Wednesday, November 4, 2015

Monday, November 2, 2015

MISIMAMO ILE ILE [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

TOKA WATENGWA RECORDS,Wimbo uliokuwa unasubiriwa kwa hamu huu hapa:
Starnmtengwa ft @Wiseman,@Songa & @Umbwax
#MisimamoIleIle
#MisimamoIleIle
Download sasa hapa mkito.com/song/misimamo-ile-ile/17045

Powered by babalaoinc.blogspot.com

NYAMAZA ASEMA MTOA LOCK [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

plizshea.Niaje niaje waungwana??? Kichupa kipya kinachokuja kugeuza upepo wa muziki kipo njiani.ni #kaskazinians_ent wakimleta kwenu @mtoalowise_megamind akiwa na @fidovato ngoma inaitwa #NYAMAZA.audio imesimamiwa na #producers wawili @goncherbeatz na @defxtro huku camera za #designworld zikitendewa haki na young and talented @remy_ivo_lupamba as #director.mzigo unakujia soon kwa tv zako.kwa mawasiliano/mahojiano na msanii dial hizi namba 0652904022
#WashtueWana
#SupportYourOwn
Powered by babalaoinc.blogspot.com