Thursday, September 8, 2016

NIKKI MBISHI BABU TALENT (WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM)

Artist:NIKKI MBISHI
Song Lyrics:BABU TALENT

To be released soon.....

Verse 1:
Naitwa kaka meneja mzee wa fitina tangu kale/
Mr. Middleman Boss tough wallet Babu Talent/
Natoka Manzese Tip Top Connection/
Huku hatupendi ngumu labda hip hop commercial/
Madee alikuwa anarap nikamwambia hiyo haiuzi/
Siku hizi anaimba video anashootia Sauzi/
Anabang sana clouds ngoma kali zinapigwa/
Huku Daudi wa kota akiongoza wakali wa media/
Nimekuwa mdananda kwenye game before/
Enzi hizo brother ndo anamtoa MB Dogg/
Z Anto Gorilla killers same thing bro/
Japo wengi wamefall from the fame to being broke/
Msinilaumu mlipata pesa mkacheza/
Kama Tunda Man sijui hata wapi alipowekeza/
Nina pesa magari mijengo biashara kubwa/
Siwezi bishana na Baghdad wala Afande mla msuba/

Verse 2:
Napiga tu mabao kila mpira wavuni/
Nina connection kibao kwenye kila kampuni/
Ukiniletea hasira za Q Chillah na uhuni/
Nakuacha bila bila kapuni mila kanuni/
Nipo pia kwenye academy za kuandaa tuzo/
Hip Hop nilimpa Nay ili hali hazijui nguzo/
Aliondoka kwa pozi akarudi kwa chozi Dogo Janja/
Singeli inabamba siku hizi uswazi tozi Sholo Mwamba/
Na Man Fongo nataka niwachukue/
Niwafanyie promo majina yao yakue/
Watokezee EaTv Cheche za Duwe/
Ndoto nifufue milango ya fursa nifungue/
Kifupi nimeshika kila media/
Muziki ni biashara huwezi bisha bila tija/
Nilimpenda Nikki Mbishi kwenye Play Boy tu/
So nifanye tena Play boy iwe play boy 2/

Verse 3:
Niko na mwanangu Gaidi Sela/
All the way from Temeke tunafaidi hela/
Tunataka Ya Moto Band wageuke barafu/
Chege na Temba TMK imbombo ni ngafu/
Mitaa haiwataki japo wapo kwa safu/
Kichaa hawanifuati nipo dampo pachafu/
Bando nasurf tu followers wakutosha/
Nikiwa na Dangote shobo nazi za kuchota/
Si unajua tena chama la wasafi/
Hip Hop sio jifanyeni wanaharakati/
Harmonize kaja jana na leo anakaa Masaki/
Anavaa mashati siku hizi hafanani kukaa Masasi/
Siko Talented ila ndo Babu Talent/
Dotto alinibatiza tena mbele ya Daz Nalej/
Na Mo Teknix Pesa ya Madafu/
Mida inakwenda bro we hesabu masaa tu/

@by Nikki Mbishi 2016
InfoPowered by @babalaotv @rodgersbabalao27
 contact +255756978662

ILI BONGE LA TOTO NI NOMA (WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM)

#bongelatoto
Artist: @ellishajames
Prod : @daznaledge
Mastering n mixing: @dunga_santuri_trinity
#proper_ent @p_enttz
Check the link kwa ya @ellishajames bio to download it from @mkito
http://bit.ly/BongeLaToto

#InfoPowered by @babalaotv @babalaotv @rodgersbabalao27 www.babalaoinc.blogspot.com