Wednesday, April 23, 2014

WAJUE WASANII WALIOSHIRIKI KATIKA WIMBO WA MUUNGANO

Picha: Wasanii waungana kutengeneza wimbo na video ya wimbo wa muungano

Wasanii zaidi ya 50 wa Bongo Flava, Hip Hop, Injili, Dance na Taarab wameungana pamoja na kufanya wimbo wa kuhamasisha Muungano unaotoka April 26, 2014.
Wasanii wa Tanzania kuanzia muziki, kwaya,dance mpaka bongo movie, wameungana kwa pamoja na kutengeneza wimbo wa pamoja kuhusu Muungano ambao kilele kitakakuwa siku ya ya tarehe 26 mwezi huu.
Wimbo huo umejumiaisha wasanii kama Mabeste, Diamond, Ommy Dimpoz, Lina, Khadija Kopa, Manddojo na Domo Kaya, Mwana FA, AT,AY,Mrisho Mpoto,Madee,Asley,Chege, Qeen Darlin, Mwasitina wengine kibaona kutengenezwa na Tuddy Thomas na kusimamiwa upande wa video na Raqie kutoka I-View Media






No comments:

Post a Comment