Thursday, February 23, 2017

MSANII CHINDO MAN AFIWA NA MTOTO WAKE.(WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM)

Msanii maarufu wa kundi la Watengwa Chindo Man a.k.a Umbwa anaefanya vizuri kwa sasa na wimbo wake wa TORATI YA MTAA amefiwa na mtoto wake wa kiume jijini London baada ya kuungua na moto taarifa zinasema wakati moto huo ukiwaka hakuwepo mtu karibu kutoa usaidizi! Km familia,ndugu na rafiki wa familia hii  tunapenda kutoa pole kwa Chindo Man pamoja na familia yake kwa kipindi hiki kigumu. #RipSon

No comments:

Post a Comment