Thursday, February 23, 2017

MASOGANGE HATIANI, WEMA SEPETU KESI YAKE YAHAIRISHWA. (WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM)

Ripoti ya mkemia Mkuu wa serikali imethibitisha  Mwanamitindo Agnes Gerald  known as Masogange kuwa  ni mtumiaji wa  madawa ya kulevya aina ya heroine. Masogange ambaye alikamatwa kati ya tarehe 7 hadi 14 ya mwezi wa pili baada ya kuingia kuapishwa kwa kamshina wa Tume ya kudhibiti madawa ya kulevya nchini.
at the sametime mrembo Wema Sepetu  ambaye alihusishwa kwenye sekeke hilo la utumiaji wa madawa  ya kulevya  kesi yake  imehairishwa kutokana na upelelezi kutokukamilika hadi pale itakaposikilizwa tena Machi 15 Mwaka Huu.

No comments:

Post a Comment