Kwa muda mrefu, Mwana FA amekuwa akizungumzia kuja na remix ya wimbo wake, Asanteni kwa Kuja.
Hivi karibuni alidai kuwa ni mtu mmoja tu aliyekuwa hajamalizia kuingiza verse yake lakini wote aliowashirikisha wamekamilisha.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, rapper huyo amewauliza mashabiki
wake kama wanataka aachie remix hiyo au atoe ngoma nyingine.
Mashabiki wamekuwa na mtazamo tofauti lakini kuna uwezekano akaja
kutoa ngoma zote mbili. Ni kwasababu mkali huyo amemaliza kushoot video
ya wimbo wake mpya nchini Afrika Kusini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..19} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..29} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..26} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩h...
No comments:
Post a Comment