Takriban miezi miwili sasa imepita tangu msanii wa Hiphop Kala Jeremiah
alipotoa ahadi ya kufanya remix ya wimbo wake wa “Wanandoto” na
mashabiki zake wenye vipaji na kutoa tamko la kwamba mashabiki hao wawe
wanajirekodi video fupi huku wakiimbia beat ya Wanandoto kwa kutumia
mistari yao binafsi na kupost katika kurasa zao za instagram na kuweka
hash tag ya Wanandoto (#Wanandoto).
“Project ya wanandoto remix inaenda vizuri na washiriki wote
8 wamekwisha ingiza sauti, kutoka mikoa mbali mbali na mmoja kutoka
Kenya. Imebaki tu sehemu yangu mimi kwasababu nina kama miezi miwili
sipo Dar, niko mikoani kuna kazi fulani naifanya na hivyo mimi ndio
nimekuwa kama kikwazo katika ucheleweshwaji wa hii project. Lakini all
& all mwishoni mwa mwezi wa 11 narudi Dar es Salaam na kitu cha
kwanza ni kwenda studio na kukamilisha hicho kitu na baada ya hapo
process zingine zitafuata.”Asema Kala Jeremiah
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..19} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..29} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..26} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩h...
No comments:
Post a Comment