Sunday, November 13, 2016

Muongeze Young Dee kwenye List ya watu hawa!(WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM)

Hitmaker wa ngoma ya “Hands Up” Young Dee ameendelea kuongeza list ya mastaa kutoka Bongo Flevani wenye followers wengi zaidi katika mtandao wa instagram.
Ni baada ya kutimiza followers Million 1 katika mtandao wa instagram na kuongeza idadi ya mastaa kutoka  Tanzania wenye followers wengi zaidi katika mtandao huo.
Mastaa wengine wakubwa duniani ambao wametimiza followers Million 1 hivi karibuni ni pamoja na Fat Joe hit maker wa ngoma ya “All the way up” wa nchini Marekani.

No comments:

Post a Comment