Msanii wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue ameweka bayana kwamba pamoja na
kukubalika na mashabiki wengi na kuwa kwenye tasnia ya muziki kwa muda
mrefu hajawahi kupata tuzo hata moja ya kutambua mchango wake kwenye
muziki.Mr Blue
Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa
na EATV, Mr. Blue amesema anatambua umuhimu wa msanii kupata tuzo ila
kwa bahati mbaya yeye hajawahi kupata tuzo.
“Mimi sijawahi kupata tuzo yoyote siyo ya kitaifa wala ya
kimataifa ila ninachoamini mimi ni kwamba mimi ni ‘expensive’ na ndiyo
maana natoa ngoma mara moja kwa mwaka na inadumu kwa muda mrefu” Amesema Mr. Blue
Aidha Mr. Blue ameongeza kuwa tuzo ambazo
zimeanzishwa na kituo hicho zitasaidia sana wasanii wengi kuweza
kutambulika zaidi na anaamini pengine anaweza kupata tuzo hiyo na ikawa
tuzo yake ya mara ya kwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..19} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..29} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..26} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩h...
No comments:
Post a Comment