Wednesday, May 23, 2018

[STORY]-BABU MWENYE NYUMBA 1 & 2

"BABU MWENYE NYUMBA"
           (Love Story_____Umri..+🔞)
SEHEMU YA KWANZA. (1)
Mtunzi: Geofrey Mustafa, ©Jafa.
Mahali: Ubungo Riverside
WhatsApp: 0713024247.
E-mail: Geofreymustafa8@gmail.com
MWANZO...
Ilikuwa ni ndani ya Mkoa mpya wa Njombe katika kijiji cha Iditima shule ya msingi Iditima ambako Kadodo alikuwa anamaliza Field yake ya ualimu aliyekuwa amepangiwa kufanya, alishukuru MUNGU kisha akarudi zake njombe mjini kuendelea kufanya mipango ya harusi. Kwakuwa alikuwa ni Kijana mchapa kazi licha ya usomi ivyo haikumsumbua sana ile harusi yake. Aliuza marage gunia Kama tano ivi kisha akaongeza na pesa zingine toka kwa ndugu na marafiki nakufanikisha kufunga ndoa kubwa na iliyofana, Lakini kitu cha pekee ambacho Kadodo hakutegemea kabisa katika ile harusi ni pale ambapo  wazazi wa pande zote mbili walipokuja na zawadi babukubwa yani ilikuwa ni gari jipya kabisa aina ya Prado.. !!!
Alifurahi Sana Kadodo huku akimwambia mke wake kuwa angalia jinsi wazazi wetu wanavyo tujali mke wangu, naye mkewe akamwambia yani ata Mimi siamini hii surprise mmmh!
Basi baada yakumaliza kufunga pingu za maisha ambazo walizifanya kiasili zaidi, ndipo sherehe zikaamia ukumbini sasa, na walitumia ukumbi wa Mkwawa Hall park watu waliselebuka mpaka basi, kitu cha pekee ambacho Kadodo hakuingia ghalama yoyote ni upande wa vinywaji. Maana kila mlikuja na Ulanzi wake...!! Palikuwa na kreti Kama Sita ivi tatu za bia na tatu za soda..!!
Basi MC ambaye pia ni mtangazaji wa Radio maarufu sana hapa Njombe inaitwa Up Len's FM alikuwa anaitwa MC Lukwale.
Basi akawauliza wageni waalikwa:
"Ndauli Vayangu..? Ngita si mwinywa Soda ni Bia.?? (Vipi jamani, mbona hamnywi soda na bia.?) Aliuliza MC Lukwale baada yakuona watu wanayapita makreti ya vinywaji ivyo Kama hayaoni vile, yani hawana habari kabisa.
Basi wakamjibu; "Nefye twinywa wulansi..!!" (Sisi tuna kunywa Ulansi)
Basi MC Lukwale akacheka sana huku akiendelea kuweka Mixing zakutosha.
Basi baada yakumaliza harusi na sherehe, maisha yao yakaendelea Kama kawaida kwa furaha na Amani kabisa. Kadodo akiwa ana miezi kadhaa tangu amalize Field yake, ndipo akapa shule moja yakufundisha Mkoani Dar es salama. Basi kwakuwa ilikuwa ni sehem ya kazi ambayo ndio kasomea ikabidi akubali kuamisha majeshi nakulivamia jiji.
Basi alifika jiji dar es salam akiwa peke yake lengo nikuangalia mazingira na mahali ilipo iyo shule, shule ilikuwa ni Makuburi Primary School. Kibaya zaidi hapakuwa na kota za walimu, ivyo ni lazima mwalimu atafute nyumba yakupanga mwenyewe..! Kadodo hakujali maana ndio Selikari zetu bhana, Basi akawa hanabudi kuanza kutafuta chumba huku na kule huku akiwatumia na Madalali pia.
Basi baada yakutafuta sana chumba atimaye akapata maeneo ya Mabibo hostel, ilikuwa ni nyumba ya Mzee mmoja ivi ambaye alikuwa anaishi na familia yake aliamua kumpangishia Kadodo baada yakuomba sana, huku akisema Muda umeisha anatakiwa aanze kazi. Basi kwa uluma ndipo Mzee akampangisha chumba na sebule kwa laki moja kwa mwezi, ivyo Kadodo akalipa Lak sita keshi...huku Dalali akimpa laki moja, aliumia Sana kulipa pesa zote zile wakati kwao Njombe amejenga nyumba nzuri kabisa.
Basi baada yakumaliza kushughulikia mambo yote huku Dar ikabidi amfuate mke wake Sasa kule Njombe, alifika kisha akabeba kila kitu alichoona kina umuhimu kwake, waka waaga wazazi wao kaka na Dada, na safari yakuelekea dar ikaanza huku mke wake akiwa ana uchu mkubwa Sana wakuliona jiji la Dar.
Walifika ndani ya jiji la makonda saa kumi na mbili jioni.....!!
Lakini kabla hawana fungus mlango...!!!
STORY NDIO KWANZA IMEANZA, KWAIYO ILI IENDELEE NA IWE INAKUJA MAPEMA. UNATAKIWA KUSHARE, LIKE, COMMENT.

  "BABU MWENYE NYUMBA"
                     (Love Story_____Umri..+🔞)
SEHEMU YA: (_2_)
Mtunzi: Geofrey Mustafa,
Mahali: Ubungo Riverside
WhatsApp: 0713024247.
ILIPOISHIA.....<<<
Basi baada yakumaliza kushughulikia mambo yote huku Dar ikabidi amfuate mke wake Sasa kule Njombe, alifika kisha akabeba kila kitu alichoona kina umuhimu kwake, waka waaga wazazi wao kaka na Dada, na safari yakuelekea dar ikaanza huku mke wake akiwa ana uchu mkubwa Sana wakuliona jiji la Dar...!!
                      SASA  ENDELEA......>>>
Walifika ndani ya jiji la makonda mida ya saa tatu za usiku, kwakuwa walikuwa wamepanga jilani na Barabara nzuri ya mtaa hakupata tabu kubebelea mizigo yao toka kwenye gari. Waliibwaga tu kwanza ile mizigo ili wapumzike na mambo mangine yaendelee kesho. Asubuhi na mapema mke wa Kadodo ndio alikuwa wa kwanza kuamka akaanza kupanga viombo huku na kule aliweka kila kitu maahali pake kisha akaanza kumuandalia chai mume wake, akiwa anaanda chai mumewe naye aliamka akaja nakumbusu mkewe huku akimuuliza Vipi unajisikiaje mke wangu Groly, umeipenda hali ya hewa ya huu mji..??
Mkewe kwa madaha akamjibu  ndio Mme wangu, kumbuka nilikuahidi ntaishi na wewe kwa shida na raha kwa baridi na joto. Sasa unadhani ni kipi kinanifanya nitengane na wewe zaidi ya kifo tu...!!
Basi Kadodo alifarijika sana kusikia maneno mazuri na yenye kutia moyo Kama yale, akajiona kweli kapata mwanamke wa maisha.
Basi maisha yaliendelea Kama kawaida huku Groly ambaye ndio mke wa Kadodo akiwa amesha anza kuwa mwenyeji Kama unavyo wafahamu hawa wenzetu sio Kama sisi wanaume, Yule Mzee mwenye nyumba alikuwa ana watoto wengi tu, lakini walikuwa tayari wamesha kuwa na familia zao yani wameoa nakuolewa. Na wale ambao ni wadogo zaidi walikuwa wapo shule tena international zile Nursery school, ivyo kurudi nyumbani ni mpaka likizo tu. Kutokana na hali iyo Mzee alikuwa anaishi yeye na mke wake tu. Pamoja na wafanyakazi wao yani house girl pamoja na Kijana aliyekuwa anasimamia ng'ombe tu.
Kwaiyo Mzee aliamua kuwapangishia wakina Groly na mumewe ili angalau mji wake uchangamke kidogo.
Basi kwakuwa Groly hakuwa na mtu wakupiga naye story za hapa na pale ikabidi awe anakaa ndani muda mwingi akiangalia movie tu mpaka mumewe atakapo rudi toka kazini, hali iyo ikamboa sana Groly mpaka akamwambia mume wake, basi Kadodo akamuomba Mzee kuwa yule binti wao wa ndani awe anapiga piga story na mke wake akiwa hana kazi, Mzee wala akukataa akasema hapana shuku Kijana waache tu wawe wana dhungumza pamoja.
Basi maisha yakaendelea ikafika wakati Groly anamsaidia Yule House girl kuosha viombo mladi apate nafasi waende kutembea mitaa ya pale Hostel Yeye Groly alikuwa anapenda sana. Kitu pekee ambacho Groly alianza kubadilika baada yakufika dar ni aina ya uvaaji wake. Alikuwa anavaa nguo nyepesi na magauni yani madela...!! Sio kwamba alikuwa ni Malaya hapana, ila joto la dar lilimshinda kabisa. Ebu vuta picha ile baridi ya kule Njombe alafu ghafla tu kaletwa dar mbona ni shida.
Basi kila anapokuwa anongea na yule House girl Babu mwenye nyumba alikuwa akimuangalia kwa jicho la kiwizi wizi hatari, Groly alikuwa ni binti wa miaka ishilini na Sita alikuwa ni binti wakihehe aliyekulia katika familia yenye maadili mazuri ivyo alikuwa na heshima sana mpaka Babu mwenye nyumba akatamani angekuwa Mkwe wake.
Babu alishaanza kumtamani sana Groly ila tatizo ni umri alafu jinsi binti mwenyewe anavyo jieshimu na kuwaeshimu kama wazazi wake vile hapo ndio palikuwa pana mpa ugumu Mzee Baruani..!!
Basi siku moja Kadodo aliporudi toka kazini akamwambia Groly kuwa kuna nafasi za ajira zimetoka nazo ivyo Groly anatakiwa aende huko asubuhi akajaribu bahati yake. Groly alikuwa na Degree yake ya Udaktari aliyoipata pale Mkwawa University, kwaiyo alifurahi Sana kusikia taarifa izo maana alikuwa Mama wa nyumbani tu wakati ana elimu yake yakutosha kabisa kumzidi ata mume wake Kadodo.
Kwa bahati nzuri alifanikiwa kupata kazi, ilikuwa ni Hospital binafsi ilipo pale Stand ya mkoa Ubungo wengi upaita UBT yani Ubungo Bus Terminal. Basi Groly akaanza lasmi kufanya kazi Arafa Dispensary iliyokuwa jilani kabisa na Hotel kubwa sana ya Mic Hotel, baada ya Mzee kupata habari kuwa Groly kapata kazi roho ilimuuma Sana..! Lakini hakuvunjika moyo.  Basi usiku mmoja Mzee alikuwa ametoka zake msikitini kupiga azana alipopita jilani na chumba cha kina Kadodo ndipo akanasa Kama kashikwa na umeme baada yakumsikia Groly akilalamika kuwa anahitaji kutiwa bado alafu mume wake tayari kamaliza...!! Alilia sana Groly akisema:
"Mume wangu mbona upo busy Sana na kazi, mpaka unashindwa kunitendea Mimi haki jamani Baba...!!"
Lakini Kadodo alikuwa kimya tu, Lakini baada yakuona Groly anaendelea kulalamika, basi akamwambia; "Groly naomba unyamaze haraka Sana, Kama ni mapenzi tutafanya Sana tu mke wangu kumbuka bikra yenyewe nimekutoa ivi karibuni tu kwaiyo acha kulaumu laumu.
Basi Groly akajibanza zake pembeni ya kitanda kimya, Mzee Baruani Sasa huku nje alipoona wakina Kadodo wametulia tulii.akaamua kuondoka zake huku kanzu yake imetuna balaa eneo la kijiji..!! Akaona bora akapunguze mzuka kidogo kwa mke wake wakati anaendelea kupanga jinsi yakumnasa Groly binti ambaye Babu mweye nyumba aligundua kuwa katiwa na MTU mmoja tu ambaye ni Kadodo, tena sio kumtia bali  kumtia shombo....!!
Sasa ngoja nimpe mambo ya pwani...!!!
"SHARE, LIKE, COMMENT ATA MARA TANO"
              Doctor Love: 0713024247.
                       ITAENDELEA TENA.
Mtunzi na Mwandishi: Geofrey Mustafa, ©Jafa.

No comments:

Post a Comment