Wednesday, November 8, 2017

Alichokiandika Davido Baada ya Meek mill kuhukumiwa jela


Msanii Davido ambaye uhusiano wake na Meek mill ulianza mwaka 2015 baada ya kushirikiana kutoa ngoma ya “Fans Mi” ameandika haya baada ya msanii Meek mill kuhukumiwa kwenda jela

No comments:

Post a Comment