Saturday, July 15, 2017

“TAREHE 26 AUGUST ITAKUWA NI KIFO AU KUFA” HAYA NDIO MANENO YA MAYWEATHER KWA MCGREGOR

Bondia mwenye mbwembwe na asiyewahi kupoteza hata mchezo mmoja kati ya 50 aliyocheza nchini wingereza ametoa tamko kali kwa mpinzani wake wa karibu ambaye anakwenda kupigana nae siku ya tarehe 26 mwezi ujao katika ukumbi wa T-mobile Arena jijini La Vegas.
Mayweather amemwembia McGregor kuwa siku ya 26 itakuwa ni kifo ama kufa katika ukumbi wa T-Mobile Arena ameyasema hayo mbele ya McGregor ambaye naye hakuwa nyuma katika kuonyesha mbwembwe baada ya kumchezea Mayweather akionyesha kumdhihaki bondia huyo.
Sasa haya ndio matukio ambayo yametokea pale nchini Wingereza katika mkutano na waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment