Sunday, July 9, 2017

JAY Z NA 4:44 WACHAFUA ITUNES KENYA,UGANDA NA AFRICA KUSINI

Kwa maneno mafupi tu naweza nikakwambia kwamba rapper Jay-Z “Halichachi”, ndani ya masaa 24 baada ya kuachiwa kwenye mtandao wa Itunes album ya 4:44 inaongoza kwa kuwa namba moja katika jumla ya nchi 38.
4:44 ni moja ya Album ambayo imeteka attention kubwa ya mashabiki na wasanii na hyo ni kutokana na mistari kwenzi ambayo inapatikana humo ndani, sasa nchi ambazo Album hiyo imeshika nafasi ya kwanza katika mtandao wa Itunes ni United States, UK, Germany, Canada, Australia, Mexico, Denmark, Ireland, Norway, Switzerland, Russia, Sweden, South Africa, Finland, Poland, Malaysia, India, Panama, Sri Lanka, Anguilla, Antigua, Bahamas, Barbados, Bermuda, Botswana, Ghana, Indonesia, Israel, Kenya, Nigeria, Uganda, Trinidad na Tobago, Saudi Arabia, Mozambique, Lebanon, Saudi Arabia, Namibia na Zimbabwe.

No comments:

Post a Comment