Thursday, February 2, 2017

Hackers wadukua radio na kucheza ngoma ya YG ‘F*ck Donald Trump’ (WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM)

Mambo yanazidi kunuka huko nchini Marekani na safari hii Wadukuzi wamedukua stesheni za radio na kucheza wimbo wa “F*ck Donald Trump”
Uamuzi wa Trump juu ya waislamu bado imekuwa ni hali mbaya, Sasa Wadukuzi wameamua kuvamia stesheni zote ndogo ndogo za radio na kuzidukua kwa kucheza ngoma ya YG ya “F*ck Donald Trump” kwa muda wa dakika 20.
Kupitia taarifa ambayo imetolewa na kituo cha radio cha Salem, SC, waliamua kufnguka juu ya udukuzi huo wa radio hizo na kuwaomba radhi mashabiki juu ya tukio ambalo lilitokea kwa dakika 20 na kufanikiwa kulizima tatizo hilo.

No comments:

Post a Comment