Monday, February 1, 2016

Drake amjibu Obama, ajifananisha na Jay Z na amemdiss tena MeekMill kwenye ‘Sumer sixteen’[WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

Rapper kutoka toronto, Drake hataki hutani tena, amejibu watu wote kwenye wimbo wake mpya ‘Summer sixteen’
     Kuhusiana na suala la rais wa Marekani Barack Obama kudai kuwa Kendrick Lamar atashinda iwapo atashindanishwa na Drake kwa kuwa ana uwezo mkubwa zaidi wa kuandika mashairi ( Isome Hapa) Drake amejibu,
“Tell Obama that my verses is just like the whips that he in / The bullet proof,” amerap mwanzoni kabisa mwa wimbo huo.

Kwenye wimbo huo pia amedai zamani alikuwa anatamani kuwa chini ya Roc-A- Fella lakini sasa yeye ni sawa na Jay Z, Pia ametania kuhusiana na Swimming pool ya Kanye west
I used to wanna be on Roc-A-Fella then I turned into Jay/ Now I got a house in LA, Now I got a bigger pool than Ye/ And look man, Ye’s pool is nice, mine’s just big is what I’m saying
Amempondea rapper mwingine wa mji ambao anatokea yeye mwenyewe, Toronto,  Tory Lanez
“All you boys in the new Toronto want to be me a little,” Drake raps referring to fellow Toronto artist Tory Lanez.  “All your ex’s know I like my O’s with a V in the middle / You would love it if I went away or didn’t say nothing else / How am I keeping it real by keeping this shit to myself? / You was never gang, gang, gang, gang, you was never one of us / Had us fooled for a minute now we done all grown up / But I’m better off anyway, y’all never gon’ finish drake / Say you seeing ‘bout it when you see me man y’all never home anyway / Thought of things that you shoulda said, said things that you shouldn’t say / We even gave you the whole money play and ya’ll still broke to this day.”

Hajamuacha adui yake mkubwa kwasasa, Meek Mill, Drake alikuwa hajajibu chochote tangu Meek Mill aachie disstrack mbili kwenda kwake,
“I let the diss record drop you were standing right below me, nigga,” Drizzy raps. “We must have played it a hundred times, you was going to bed / Why would I put on a vest I expect you to aim for the head? / I coulda killed you the first time / You don’t have to try to say it louder nigga / We could hear you the first time / It’s nothing personal I would have done it to anyone.” 
Powered by @babalaotv www.babalaoinc.blogspot.com

No comments:

Post a Comment