Rich mavoko mara ya mwisho nilikuwa natakiwa nimsaini
wasafi, Rich mavoko alitakiwa awe signed wasafi kabla ya nyimbo yake hii
kutoka, ilitakiwa ikitaka awe chini ya wasafi, lakini kuna vitu
vilichelewesha kwasababu kulikuwa na project namalizia kwanza,” Diamond aliiambia Ayo Tv “Nikamwambia,
alikuwa anazungumza na uongozi wangu, kwahiyo wakamwambia kwasababu
ishafika time unatakiwa utoe wimbo basi itoe tu hii nyimbo alafu then
after hapo ikiwezekana kuanzia next project ndo anaweza akawa anatoa
nyimbo akiwa chini ya wasafi.” Alielezea.
Hadi sasa waanii ambao wapo chini ya label hiyo ni pamoja na Harmonize na Raymond.
Powered by @babalaoTV www.babalaoinc.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..19} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..29} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..26} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩h...
No comments:
Post a Comment