NUKUU kutoka kwenye ukurasa wa facebook https://www.facebook.com/amos.r.rodgers1
Baada ya kipindi kirefu kuskika sauti pekee yake bila kuonekana,,mwaka
2016 nimeamua uwe mwaka wa kwanza kwangu kuskika na kuonekana katika
video,,napenda kumshukuru MUNGU kwani kanipigania katika mambo mengi
mpaka sasa naeza kusimama na kusema neno na watu wakanielewa,pia
nawashukuru wazazi kwa mchango wao wa ushauri na kadhalika,media
mbalimbali,watangazaji na madj,watayarishaji wa muziki wote niliowahi
kufanya nao kazi km GS,Goncher Beats,Def Xtro,Josephat Tyrol Mosco, Beatsby Reggy
na ambao hatukuwahi kufanya kazi pamoja huu mwaka tutasomama bila
kusahau ndugu,jamaa na marafiki ambao ndio wafuasi(mashabiki) wa kazi za
sanaa yangu ya muziki kwani pia bila nyinyi nisingefika hapa.Pongezi
kwa timu nzima ya RUDE ZONE MUSIC,KIKISTAR ENTERTAINMENT kwa kufanikisha
zoezi zima la video ya SITAKI SHARI akiwemo DIRECTOR AKIMUR,Tonny Wensensilaus Tarimo,ABDUL,DJ MWANGA,Prosper Prior Mbonea na wote walioko nyuma ya jambo hili.
Kutazama video ya wimbo wangu bofya hapa https://youtu.be/hEdfq4kF6k8
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..19} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..29} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩ha...
-
❝BABU MWENYE NYUMBA❞ {♡Love Story♡_____Part..26} ∪₥ri_____+ ℳtunzi: ₲eofrey Mustafa, ₳rtist Jafa ✍ ℳaahali: Dar es salaam🇹🇿 ₩h...
No comments:
Post a Comment