Taarifa hizo zilianza kwa Mbunge wa Mikumi Mh Joseph Haule (Professor Jay) kwa kuposti taarifa hiyo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
Taarifa hiyo imewagusa wengi hasa watu maarufu na kila mmoja ameweza
kuandika yakwake, ila kwasasa nimekusogezea tweets za Mbunge wa Kigoma
Mjini Zitto Zuberi Kabwe na Vanessa Mdee.
Uvamizi wa
studio ya Tongwe na kumkamata msanii Roma Mkatoliki ni mwendelezo wa
uongozi wa kigangstar na lazima kulaani Kwa nguvu zetu zote
Roma na Moni wamerudishwa? Maana nililala nikadhani labda ndoto mbaya tu hii.
No comments:
Post a Comment