Monday, February 22, 2016

YOUNG EYEZ AJA NA WE SO HIGH [WWW.BABALAOINC.BLOGSPOT.COM]

We so high ni wimbo uliofanyika katika studio za Cukaz Beat chini ya producer Justinoo,wimbo huo unamililikiwa na msanii mpya kabisa aitwae Young Eyez akiwa amewashirikisha wasanii wengine kadhaa kama Rude Rodgers Babalao (hit maker wa SITAKI SHARI) pia kuna Tonny Trigger,Big Jooh,Ram32 na Snake Fire.Chanzo chetu cha habari kilipiga story na Edwin Kahindi a.k.a Young Eyez na akatuambia kuna mengi yanakuja kwaio mashabiki wakae mkao wa kupokea mengi kutoka kwake.

No comments:

Post a Comment