COSOTA wasema kuna
wasanii wa Bongo kama 25 au 30 hivi ambao wanapokea pesa za mirabaha
kutoka nje ya TZ… Wasanii hao ni wale waliojiandikisha tu COSOTA na
wanatambulika nao, kwa ambao hawajajiandikisha wanashauriwa
kujiandikisha pia kwa sababu huenda kuna pesa zao zinaingia toka nje na
haziwafikii.
Powered by babalaoinc.blogspot.com @babalaoTV
No comments:
Post a Comment